Virginio Pizzali

Virginio Pizzali (28 Desemba 1934 - 14 Novemba 2021) alikuwa mchezaji wa baisikeli kutoka Italia. Aliwashiriki katika Michezo ya Olimpiki ya 1956, na kushinda medali ya dhahabu katika mashindano ya mbio za pamoja.[1][2]

  1. https://web.archive.org/web/20200418013904/https://www.sports-reference.com/olympics/athletes/pi/virginio-pizzali-1.html
  2. Il ciclismo friulano piange il mito Pizzali, oro a Melbourne anche senza medaglia Ilihifadhiwa 18 Novemba 2021 kwenye Wayback Machine. Kosa la hati: Hakuna moduli kama "In lang".

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne