Vitabu vya Samweli

Ana akimtoa Samueli kwa Eli, mchoro wa Jan Victors, 1645.
Ernst Josephson, Daudi na Sauli, 1878.

Vitabu vya Samweli katika Biblia ya Kikristo ni viwili na vinaitwa kwa jina la Samweli, aliye wa mwisho (1050-1015 hivi K.K.) kati ya Waamuzi, tena nabii na mwanzilishi wa ufalme wa Israeli.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne