Waanabaptisti (kwa Kilatini anabaptista,[1] kutoka Kigiriki ἀναβαπτισμός ambapo ἀνά, ana inamaanisha "tena" na βαπτισμός, baptismos, "ubatizo"[2]) ni Wakristo ambao hasa kuanzia karne ya 16 walikataa ubatizo jinsi ulivyotolewa na Kanisa Katoliki na madhehebu mbalimbali ya Uprotestanti.[3][4]
Kwa sababu hiyo, wenyewe hawapendi kuitwa hivyo: kwa mtazamo wao, hawarudii ubatizo, ila wanautoa kwa usahihi kwa mara ya kwanza.[5]
Msimamo wao ulisababisha kuanzia mwaka 1527 dhuluma kali kutoka kwa viongozi wa madhehebu hayo mbalimbali.
Kwa sasa Waanabaptisti wote hawafikii milioni 2 duniani.
{{citation}}
: CS1 maint: date auto-translated (link)
{{citation}}
: CS1 maint: date auto-translated (link)
{{citation}}
: Unknown parameter |dead-url=
ignored (|url-status=
suggested) (help)
{{citation}}
: Unknown parameter |dead-url=
ignored (|url-status=
suggested) (help).