Waaringa ni kabila wanaoishi kaskazini kwa ziwa Albert nchini Uganda (Wilaya ya Yumbe) karibu na mpaka wa Sudan Kusini.
Ndio wakazi asili wa eneo hilo, kabla ya ujio wa watu kutoka kaskazini[1].
Lugha ya wengi wao ni Kiaringa, mojawapo kati ya lugha za Kisudani.
{{cite web}}
: More than one of |accessdate=
na |access-date=
specified (help); More than one of |archivedate=
na |archive-date=
specified (help); More than one of |archiveurl=
na |archive-url=
specified (help)