Waasa

Waasa ni kabila dogo la watu wa Mkoa wa Manyara, Tanzania Kaskazini. Mwaka 1999 walihesabiwa kuwa 300 tu, baada ya wengine kumezwa na kabila la Wamasai.[1]

Zamani walikuwa wakiongea lugha ya Kiaasáx, iliyoitwa pengine "Kidorobo".

  1. Ethnologue report for language code: aas

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne