Wahehe

Wahehe mnamo 1906.

Wahehe ni watu wa kabila la Tanzania ambao kiasili wanaishi katika wilaya za Mkoa wa Iringa, yaani Iringa mjini, Iringa vijijini, Kilolo na Mafinga, lakini pia sehemu nyingine, hasa wilaya ya Mpwapwa katika mkoa wa Dodoma.[1]

  1. "URITHI WETU: Hawa ndio Wahehe na chimbuko lao-1". Mwananchi (kwa Kiingereza). 2021-12-29. Iliwekwa mnamo 2024-01-13.

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne