Wakisi

Wakisi ni kabila la Tanzania wanaoishi katika Mkoa wa Njombe, Wilaya ya Ludewa, ukanda wa Ziwa Nyasa

Lugha yao ni Kikisi.

Jamii hiyo hujihusisha na shughuli mbalimbali zikiwemo za uvuvi, ufinyanzi, kilimo cha muhogo.

Pia ni wachezaji wazuri wa ngoma ya Mganda, Kihoda na Ligambusi.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne