Walawi (Biblia)

Hema la mkutano katika mchoro wa karne ya 19.

Kitabu cha Walawi (pia: Mambo ya Walawi) ni kitabu cha tatu katika Biblia ya Kiebrania (Tanakh) na katika Agano la Kale la Biblia ya Kikristo, kikifuata kile cha Mwanzo na kile cha Kutoka.

Kama vitabu vingine vyote vya Biblia, hiki pia kinatakiwa kisomwe katika mfululizo wa historia ya wokovu ili kukielewa kadiri ya maendeleo ya ufunuo wa Mungu kwa binadamu.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne