Walugbara

Wanawake Walugbara wakichambua karanga.
Rais Idi Amin alizaliwa na mama Mlugbara[1]

Walugbara ni kabila la watu wanaoishi kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na kaskazini magharibi mwa Uganda, lakini pia kusini magharibi mwa Sudan Kusini.

Lugha ya wengi wao ni Kilugbara, mojawapo kati ya lugha za Kisudani[2] na dini yao ni Ukristo, lakini pia Uislamu.

  1. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2009-02-11. Iliwekwa mnamo 2020-02-11.
  2. Lugbara entry from Ethnologue

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne