Wapogolo

Wapogolo ni kabila la watu kutoka kusini-kati ya nchi ya Tanzania, hususan mkoa wa Morogoro.

Lugha yao ni Kipogolo.

Mwaka 1987 idadi ya Wapogolo ilikadiriwa kuwa 185,000


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne