Warangi

Mwanamke Mrangi akioka chapati kwa hoteli yake.

Warangi ni mojawapo kati ya makabila yanayopatikana katika wilaya ya Kondoa, mkoa wa Dodoma, mji ambao ndiyo makao makuu ya nchi ya Tanzania.

Kirangi ndiyo hasa lugha ya Warangi, ambayo wao huiita Kilaangi.

Warangi wamegawanyika katika dini ya Uislamu na Ukristo, hasa wa Kanisa Katoliki.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne