Wasandawe

Picha ya eneo la sandawe

Wasandawe ni kabila linaloishi hasa katika eneo la wilaya ya Chemba, mkoa wa Dodoma, katikati ya nchi ya Tanzania.

Wasandawe katika wilaya ya Chemba wanaishi hasa katika tarafa mbili, yaani Farkwa na Kwamtoro.

Wengi ni wafupi na wa rangi ya weupe/njano. Wanawake wana maumbo ya kuvutia na wanaume wana muonekano wa pekee.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne