Wilaya ya Buret

Wilaya ya Buret ilikuwa wilaya mojawapo ya Mkoa wa Bonde la Ufa wa Jamhuri ya Kenya hadi ilipopitishwa katiba mpya ya nchi (2010).

Makao makuu yalikuwa mjini Litein.

Kwa sasa imegawanywa kati ya kaunti ya Bomet na kaunti ya Kericho.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne