Wilaya ya Kahama ilikuwa wilaya mojawapo ya Mkoa wa Shinyanga. Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 596,456 [1].
Tangu mwaka 2012 wilaya hii ilimegwa kuwa wilaya 2 za Kahama mjini na vijijini.[1][2][3]
Developed by Nelliwinne