Wilaya ya Kahama Vijijini

Wilaya ya Kahama Vijijini ilikuwa wilaya ya Mkoa wa Shinyanga. Ilianzishwa baada ya kugawa Wilaya ya Kahama ya awali.

Wakati wa sensa ya 2012 wilaya ilikuwa na wakazi 334,417. [1]

Tarehe 23 Novemba 2012 iligawanywa katika Wilaya ya Msalala na Wilaya ya Ushetu.

Kata zake zilikuwa:

Bugarama | Bukomela | Bulige | Bulungwa | Bulyanhulu | Busangi | Chambo | Chela | Chona | Idahina | Igunda | Igwamanoni | Isaka | Jana | Kashishi | Kinamapula | Kisuke | Lunguya | Mapamba | Mega | Mpunze | Mwalugulu | Mwanase | Ngaya | Ntobo | Nyankende | Sabasabini | Segese | Shilela | Ubagwe | Ukune | Ulewe | Ulowa | Ushetu | Uyogo

  1. Sensa ya 2012, Shinyanga Region - Shinyanga District Council

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne