Wilaya ya Keiyo

Barabara ya Keiyō

Wilaya ya Keiyo ilikuwa wilaya mojawapo ya Mkoa wa Bonde la Ufa wa Jamhuri ya Kenya hadi ilipopitishwa katiba mpya ya nchi (2010).

Makao makuu yalikuwa Iten / Tambach.

Kwa sasa imekuwa sehemu ya kaunti ya Elgeyo-Marakwet.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne