Wilaya ya Ifakara Mjini

Mahali pa wilaya ya Kilombero (kijani cheusi) katika mkoa wa Morogoro (kijani) na Tanzania kwa jumla (kabla ya kugawa wilaya hiyo kuwa mbili).

Wilaya ya Ifakara Mjini ni wilaya mojawapo ya Mkoa wa Morogoro, Tanzania yenye Postikodi namba 67500.

Katika sensa ya mwaka 2012, idadi ya wakazi wa wilaya ya Kilombero ilihesabiwa kuwa 407,880.[1] Katika ile ya mwaka 2022 walihesabiwa 290,424 waliobaki upande wa wilaya ya Ifakara Mjini, yalipokuwa makao makuu ya wilaya ya Kilombero, baada ya kuigawa na kuunda wilaya ya Mlimba [2].

  1. "Tanzania.go.tz/census". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2003-12-17. Iliwekwa mnamo 2003-12-17.
  2. https://www.nbs.go.tz

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne