Wilaya ya Njombe

Mahali pa Wilaya ya Njombe (kijani cheusi) katika mkoa wa Iringa kabla ya umegaji wa mkoa na wa wilaya.

Wilaya ya Njombe ni wilaya mojawapo kati ya 6 za Mkoa wa Njombe.

Maeneo ya wilaya ya Njombe ya awali yaligawiwa kwa wilaya tatu:

Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 420,348 [1].

Katika sensa ya mwaka 2022 wazazi waliobaki katika eneo la sasa walihesabiwa 109,311 [2].

Wenyeji asilia wa Njombe ni hasa Wabena.

  1. [1]
  2. https://www.nbs.go.tz

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne