Xscape

Xscape
ChimbukoAtlanta, Georgia, U.S.
Miaka ya kazi1991–2001; 2005–2009
StudioSo So Def/Columbia/SME Records (1992-1998)
Ameshirikiana naBow Wow, Jermaine Dupri
LaTocha Scott
Tamika Scott
Tameka "Tiny" Cottle
Kandi Burruss
Kiesha Miles
Tamera Coggins-Wynn

Xscape lilikuwa kundi la waimbaji wa kike wa R&B kutoka Atlanta, Georgia nchini Marekani. Kundi lilipata platinamu tatu mfululizo kwa albamu zao ikiwa ni pamoja na kushika nafasi ya 6 na kuingiza vibao 10 bab-kubwa katika chati za Billboard Hot 100 katika kipindi cha miaka ya 1990 - "Just Kickin' It", "Who Can I Run To", "The Arms of the One Who Loves You", na "My Little Secret". Kikosi halisi cha kundi kiliunganishwa na ndugu ambao ni LaTocha na Tamika Scott, Kandi Burruss, Tameka "Tiny" Cottle, na Tamera Coggins, lakini Coggins aliondoka kabla kundi halijatoa hata albamu yao ya kwanza.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne