Yasinta Marescotti

Mt. Yasinta.

Yasinta Marescotti, T.O.R. (Vignanello, Dola la Papa, leo Wilaya ya Viterbo, 1585 - Viterbo, 30 Januari 1640), alikuwa mwanamke mmonaki wa Utawa wa Tatu wa Mt. Fransisko maarufu kwa vipaji vyake nchini Italia.

Anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu bikira. Kwanza alitangazwa mwenye heri na Papa Benedikto XIII mwaka 1726, halafu mtakatifu na Papa Pius VII tarehe 14 Mei 1807.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[1].

  1. Martyrologium Romanum

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne