Yemi Osinbajo

Yemi Osinbajo


Makamu wa Rais wa Nigeria
Aliingia ofisini 
29 Mei 2015
Rais Muhammadu Buhari
mtangulizi Namadi Sambo

Mwanasheria Mkuu katika Jimbo la Lagos na Kamishna wa Sheria
Muda wa Utawala
1999 – 2007

tarehe ya kuzaliwa 8 Machi 1957 (1957-03-08) (umri 67)
Lagos, Lagos State, Nigeria
utaifa Nigeria
chama All Progressives Congress
ndoa Oludolapo Osinbajo
watoto 3
mhitimu wa
Fani yake Mwanasheria, wakili, mchungaji wa kanisa
dini Ukristo[1]
tovuti profyemiosinbajo.com

Oluyemi Oluleke Osinbajo (* 8 Machi 1957) ni wakili na mwanasiasa nchini Nigeria. Tangu 29 Mei 2015 alikuwa makamu wa rais wa Nigeria Muhammadu Buhari. Yeye ni pia wakili, mwanasheria aliyefundisha kwenye chuo kikuu alishika vyeo mbalimbali katika idara ya sheria ya Jimbo la Lagos anakotoka. [2] [3]

  1. "Meet Buhari's running mate, Prof Yemi Osinbajo". Vanguard (Nigeria). 17 Desemba 2014. Iliwekwa mnamo 29 Januari 2015.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  2. "Democracy Day: Kudos, knocks for Nigeria's judiciary – DailyPost Nigeria". DailyPost.ng. Iliwekwa mnamo 1 Aprili 2015.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  3. "Biography". profyemiosinbajo.com. 2015. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2015-02-05. Iliwekwa mnamo 29 Januari 2015.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne