Yukon







Yukon

Bendera
Nchi Bendera ya Kanada Kanada
Mji mkuu Whitehorse
Eneo
 - Jumla 482,443 km²
Tovuti:  http://www.gov.yk.ca/
Yukon
bendera

Yukon ni eneo kubwa la Kanada upande wa magharibi ya nchi. Imepakana na Marekani (Alaska) upande wa kaskazini-magharibi, Northwest Territories upande wa mashariki na British Kolumbia upande wa kusini.

Ina pwani fupi na Bahari ya Aktika. Sehemu kubwa ya eneo lake ni misitu tu.

Yukon lina wakazi wapatao 33,442 (2009) katika eneo la kilomita za mraba zipatazo 482,443.

Whitehorse ni mji mkuu na mji mkubwa.

Kuna lugha rasmi 2: Kiingereza na Kifaransa


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne