Ziwa Albert (Afrika)

Ziwa Albert
Anwani ya kijiografia 1°41′N 30°55′E / 1.683°N 30.917°E / 1.683; 30.917
Mito ya kuingia Victoria Nile
Mito ya kutoka Albert Nile
Nchi za beseni Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Uganda
Urefu 160 km
Upana 30 km
Eneo la maji 5,300 km²
Kina cha wastani 25 m
Kina kikubwa 58 m
Mjao 132 km³[1]
Kimo cha uso wa maji juu ya UB 615 m
Miji mikubwa ufukoni Butiaba, Pakwach
Marejeo [1]

Ziwa Albert - pia Albert Nyanza, Ziwa Mwitanzige, na zamani kwa miaka michache Ziwa Mobutu Sese Seko - ni moja ya maziwa makubwa ya Afrika. Ni ziwa kubwa la saba katika Afrika, likiwa na nafasi ya ishirini na saba kwa ukubwa katika ulimwengu mzima.

twiga pembeni ya ziwa Albert
chaneli mojawapo ya ziwa albert
kivuko cha mwanzoni
  1. 1.0 1.1 The Nile

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne